Kocha Pep Guardiola akijifuta machozi baada ya timu yake kushinda Kombe la Ujerumani kwa ushindi wa penalti 4-3 baada ya sare ya 0-0 dhidi ya Borussia Dortmund usiku wa jana Uwanja wa Olimpiki mjini Berlin, Ujerumani. Guardiola anaondoka Bayern Munich anahamia Manchester City ya England baada ya kumaliza msimu jana na mchezo huo ulikuwa wa mwisho kwake kuiongoza timu hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Portsmouth fans spread HUMAN ASHES on their pitch in a
mid-pitch-invasion ceremony... killing the grass and leaving it damaged for
their last game of the season
-
Thousands of jubilant Pompey fans raced onto the pitch after a 3-2 win over
Barnsley on April 16 took the club up into the Championship.
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment