Suruali ya kocha wa Real Madrid, Zinadine Zidane ikiwa imechanika usiku wa jana wakati akishangilia ushindi wa 3-0 dhidi ya Wolfsburg ya Ujerumani, mabao yote yakifungwa na Cristiano Ronaldo katika mchezo wa marudiano Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Uwanja wa Bernabeu na kutinga Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya awali kufungwa 2-0 Ujerumani. Kocha wa zamani wa Barcelona, Pep Guardiola aliwahi kupatwa na mkasa huo katika klabu yake ya sasa Bayern Munich akishangilia ushindi wa 6-1 dhidi ya Porto mwaka jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trans darts star was left bed-bound by 'scary' abuse after taking a women's
qualifying place in the World Darts Championship: Noa-Lynn Van Leuven
speaks out before Ally Pally return
-
Van Leuven, 29, is making her return to the World Darts Championship this
week against Peter Wright a year after becoming the first transgender woman
to ev...
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment