Kinda wa Manchester United, Marcus Rashford akishangilia baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 2-1 dhidi ya West Ham United usiku wa Jumatano Uwanja wa Upton Park kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England. Bao lingine la Man United limefungwa na Marouane Fellaini, wakati la West Ham limefungwa na James Tomkins na sasa Mashetani Wekundu watacheza na Everton katika Nusu Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chiefs star Wanya Morris suffers serious knee injury on first play of
Texans game in disastrous start
-
It is a huge blow for Patrick Mahomes and his teammates with the offensive
line already seriously depleted by injuries.
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment