Kinda wa Manchester United, Marcus Rashford akishangilia baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 2-1 dhidi ya West Ham United usiku wa Jumatano Uwanja wa Upton Park kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England. Bao lingine la Man United limefungwa na Marouane Fellaini, wakati la West Ham limefungwa na James Tomkins na sasa Mashetani Wekundu watacheza na Everton katika Nusu Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ex-Wales, Burnley and Swansea winger James dies aged 71
-
Leighton James, the former Burnley Swansea and Wales winger, dies at the
age of 71.
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment