![]() |
| Kiungo wa Simba, Awadh Juma Issa (kushoto) akiwalamba chenga wachezaji wa Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 1-0 |
![]() |
| Beki wa Simba, Hassan Kessy (kulia) akimzunguka beki wa Prisons jana Uwanja wa Taifa |
![]() |
| Mshambuliaji wa Simba, Mussa Hassan Mgosi akimtoka beki wa Prisons jana Uwanja wa Taifa |
![]() |
| Mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Hajib (kulia) akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Prisons |
![]() |
| Kikosi cha Prisons kilichoanza jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam |








.png)
0 comments:
Post a Comment