![]() |
| Beki wa Ndanda, Aziz Sibo akimzuia kiungo wa Simba, Mwinyi Kazimoto jana Uwanja wa Taifa |
![]() |
| Kiungo wa Simba, Jonas Mkude (kulia) akimiliki mpira mbele ya beki wa Ndanda, Aziz Sibo |
![]() |
| Mshambuliaji wa Simba, Danny Lyanga akipasua katikati ya wachezaji wa Ndanda |
![]() |
| Mshambuliaji wa Simba, Mussa Mgosi kulia akipambana na beki wa Ndanda jana Uwanja wa Taifa |
![]() |
| Kiungo wa Simba, Awadh Juma akimlamba chenga beki wa Ndanda jana Uwanja wa Taifa |








.png)
0 comments:
Post a Comment