Wachezaji wa Barcelona wakishangilia ushindi wao wa 6-0 dhidi ya Getafe katika mchezo wa La Liga jioni ya leo Uwanja wa Camp Nou. Katika mchezo huo ambao Mwanasoka Bora wa Dunia, Lionel Messi alikosa penalti kabla ya kufunga baafaye, mabao mengine ya Barca yamefungwa na Juan Rodriguez aliyejifunga, Munir, Neymar mawili na Arda Turan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool Confidential Q&A special: Who are the Reds looking at to replace
Mohamed Salah? Where next for the Egyptian King? What's the latest on Xabi
Alonso? And which positions are the club trying to strengthen this summer?
-
It was a story which sent shockwaves through the sport as Mohamed Salah
announced he was to leave Liverpool this week. So, where next for the
legendary pla...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment