• HABARI MPYA

    Sunday, March 13, 2016

    LUKAKU AITUPA NJE CHELSEA KOMBE LA FA, APIGA ZOTE MBILI EVERTON YACHINJA 2-0

    Mshambuliaji wa Everton, Romelu Lukaku (kulia) akipiga shuti kuifungia timu yake katika ushindi wa 2-0 dhidi ya timu yake ya zamani, Chelsea kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England jana Uwanja wa Goodison Park. Bao lingine la Everton lilifungwa na Lukaku pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LUKAKU AITUPA NJE CHELSEA KOMBE LA FA, APIGA ZOTE MBILI EVERTON YACHINJA 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top