Diego Costa wa Chelsea akiushuhudia mpira ukitinga nyavuni baada ya kumchambua kipa wa Norwich katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumanne Uwanja wa Carrow Road. Chelsea ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Kenedy na Coasta, wakati la wenyeji lilifungwa na Nathan Redmond PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Riyad Mahrez (kushoto) wa Leicester City akiwania mpira dhidi ya Claudio Yacob wa West Bromwich Albion katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumanne uliomalizika kwa sare ya 2-2 Uwanja wa King Power. Mabao ya Leicester yalifungwa na Danny Drinkwater na Andy King wakati ya WBA yalifungwa na Salomon Rondon na Craig Gardner PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment