STARS WAWASILI SALAMA LILONGWE, SASA SAFARI YAANZA UPYA SAA TATU HADI BLANTYRE
Wachezaji wa Taifa Stars wakitremka kwenye ndege baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kamuzu, mjini Lilongwe, Malawi muda huu tayari kwa safari ya barabara ya saa tatu kuelekea Blantyire kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya wenyeji Jumapili mchujo wa awali kuwania kupangwa kwenye makundi ya kugombea tiketi ya Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi. Tanzania ilishinda 2-0 mchezo wa kwanza
Sasa safari inaanza upyaa kwa saa tatu kuelekea Blantyre
Vijana wanaonekana wako vizuri kuelekea mchezo huo wa Jumapili
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment