Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kusawazisha dakika ya 89 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Sevilla Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan mjini Sevilla usiku wa Jumamosi baada ya kuingia dakika ya 58 kuchukua nafasi ya Ousmane Dembele. Sevilla walitangulia kwa mabao ya Franco Vazquez dakika ya 36 na Luis Muriel dakika ya 50, kabla ya Luis Suarez kuifungia Barca dakika ya 88 na Messi dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: Steelers' Russell Wilson Takes Batting Practice Ahead of Pirates 1st
Pitch
-
The Pittsburgh Pirates have an unexpected new addition to their roster.
Steelers quarterback Russell Wilson took batting practice at PNC Park
before throwing…
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment