Robert Lewandowski akishangilia baada ya kufunga mabao matatu Bayern Munich dakika za tano, 44 na 87 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Borussia Dortmund leo kwenye mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich. Mabao mengine ya Bayern Munich yamefungwa na James Rodriguez dakika ya 14, Thomas Muller dakika ya 23 na Franck Ribery dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment