Robert Lewandowski akishangilia baada ya kufunga mabao matatu Bayern Munich dakika za tano, 44 na 87 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Borussia Dortmund leo kwenye mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich. Mabao mengine ya Bayern Munich yamefungwa na James Rodriguez dakika ya 14, Thomas Muller dakika ya 23 na Franck Ribery dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Son of one of footy's greatest players is accused of white-anting Tigers
coach Benji Marshall as club boss explodes: 'It's just bulls**it on every
level'
-
Tigers boss Shane Richardson has slammed rumours about Marshall as
'bulls**t' after former recruitment manager Scott Fulton allegedly fed
criticisms about ...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment