• HABARI MPYA

    Thursday, April 12, 2018

    MBWEMBWE ZA MASHABIKI WA SIMBA SC LEO WAKIIPA 3-1 MBEYA CITY

    Shabiki wa Simba SC akila chipsi jukwaani wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Mbeya City leo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simbe imeshinda 3-1  
    Shabiki huyu alikuwa anamaanisha mchezo wa leo wa Simba ambao ni wa kiporo 
    Mashabiki wengine wa Simba wakifuatilia mchezo wa leo kwa umakini 
    Kama ilivyokuwa kwa hawa wengine wakipata burudani leo Uwanja wa Taifa
    Hawa ni mashabiki wa Yanga waliojitokeza kuwapa sapoti watani wao, Simba
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MBWEMBWE ZA MASHABIKI WA SIMBA SC LEO WAKIIPA 3-1 MBEYA CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top