Shabiki wa Simba SC akila chipsi jukwaani wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Mbeya City leo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simbe imeshinda 3-1
Shabiki huyu alikuwa anamaanisha mchezo wa leo wa Simba ambao ni wa kiporo
Mashabiki wengine wa Simba wakifuatilia mchezo wa leo kwa umakini
Kama ilivyokuwa kwa hawa wengine wakipata burudani leo Uwanja wa Taifa
Hawa ni mashabiki wa Yanga waliojitokeza kuwapa sapoti watani wao, Simba
NFL Draft 2024 Big Board: Best Available Players After Day 1
-
Round 1 of the 2024 NFL draft is complete. While the opening night saw many
of the top prospects come off the board, it's important to remember that
the dr...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment