Mashabiki wa Yanga wakifuatilia mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania tiketi ya kucheza hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya timu yao na Wolaita Ditcha ya Ethiopia. Yanga ilishinda 2-0
Shabiki huyu wa Yanga akiwa amejichora majina ya wachezaji
Hawa wawili walitumia fursa yao kujipiga picha za ukumbusho jana
Hawa wao walikuwa wanashangilia muda mwingi wa mchezo
Katikati ni msanii mchekeshaji maarufu wa kwenye Televisheni, Ulimboka Mwalulesa 'Senga' akifurahia na mashabiki wenzake wa Yanga
Hawa ni magwiji wa Yanga, Sekilojio Chambua (kushoto) na Mohammed Hussein 'Mmachinga' kulia
Kulia ni mshambulia wa Yanga, Mzambia Obrey Chirwa ambaye alikosekana jana kwa sababu ya kadi za njano
Anthony Joshua may NEVER fight again, admits Eddie Hearn - as promoter
gives update on boxer's condition after crash that killed two of his best
friends
-
Joshua narrowly avoided death after changing seats before the vehicle set
off on its journey. He spent New Year in hospital before jetting home to
his mans...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment