Mashabiki wa Yanga wakifuatilia mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania tiketi ya kucheza hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya timu yao na Wolaita Ditcha ya Ethiopia. Yanga ilishinda 2-0
Shabiki huyu wa Yanga akiwa amejichora majina ya wachezaji
Hawa wawili walitumia fursa yao kujipiga picha za ukumbusho jana
Hawa wao walikuwa wanashangilia muda mwingi wa mchezo
Katikati ni msanii mchekeshaji maarufu wa kwenye Televisheni, Ulimboka Mwalulesa 'Senga' akifurahia na mashabiki wenzake wa Yanga
Hawa ni magwiji wa Yanga, Sekilojio Chambua (kushoto) na Mohammed Hussein 'Mmachinga' kulia
Kulia ni mshambulia wa Yanga, Mzambia Obrey Chirwa ambaye alikosekana jana kwa sababu ya kadi za njano
Kevin De Bruyne is 'better than Gerrard, Lampard, Silva and Toure' and is
No 1 midfielder in Premier League history, claims Jamie Redknapp after
Belgian's ridiculous header from 15 yards
-
Sky Sports pundit Jamie Redknapp believes Kevin De Bruyne's ability to
produce things that are 'out of this world' elevates him to be the best
midfielder i...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment