Dele Alli akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Tottenham Hotspur dakika za 62 na 66 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Chelsea usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge, London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la Spurs likifungwa na Christian Eriksen dakika ya 45 na ushei wakati la Chelsea lilifungwa na Alvaro Morata dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
March Madness: UConn becomes the first reigning national champions to reach
the Elite Eight since 2007 after beating San Diego State... as Clemson
spoils Arizona's homecoming hopes
-
The Connecticut Huskies extended their streak of double-digit victories in
March Madness to nine in a row with a victory over San Diego State in a
rematch ...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment