Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger akiwa na mshambuliaji wake, Alexis Sanchez mazoezini leo viwanja vya Colney, London baada ya kumrejesha nyota huyo kikosi cha kwanza kuelekea mchezo na Crystal Palace kesho Uwanja wa Emirates. Ikumbukwe Wenger alimundoa Mchile hiyo kikosi cha kwanza na kwenda kufanya mazoezi na timu ya watoto akitarajia uhamisho wake kwenda Manchester United ungekamilika mapema PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Carrick showed a new side of himself after suffering his first
defeat as Man United manager, writes CHRIS WHEELER - he now faces his
biggest test in charge following a loss that had been coming
-
CHRIS WHEELER: What should worry them more is not the 2-1 defeat to
Newcastle itself, but the manner of it - and the fact that this result
feels like it ha...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment