Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger akiwa na mshambuliaji wake, Alexis Sanchez mazoezini leo viwanja vya Colney, London baada ya kumrejesha nyota huyo kikosi cha kwanza kuelekea mchezo na Crystal Palace kesho Uwanja wa Emirates. Ikumbukwe Wenger alimundoa Mchile hiyo kikosi cha kwanza na kwenda kufanya mazoezi na timu ya watoto akitarajia uhamisho wake kwenda Manchester United ungekamilika mapema PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham's medical staff branded as 'utterly clueless' by some fans over
their handling of Xavi Simons' torn ACL - with 'insane decision' to let
star try to play on despite his injury questioned
-
The fallout of Xavi Simons' season-ending knee injury has left many
Tottenham fans furious with the club's medical staff.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment