• HABARI MPYA

    Sunday, January 14, 2018

    UKIMUONA WENGER KAJIKUNYATA KINYONGE, UJUE ARSENAL KAPIGWA!

    Kocha wa Arsenal, Mfaransa Arsene Wenger anayetumikia adhabu ya kufungiwa na Chama cha Soka (FA), akishuhudia kutoka jukwaani timu yake ikichapwa mabao 2-1 na wenyeji AFC Bournemouth katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vitality. Mabao ya Bournemouth yamefungwa na Callum Wilson dakika ya 70 na Jordon Ibe dakika ya 74, wakati la Arsenal limefungwa na Hector Bellerin dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UKIMUONA WENGER KAJIKUNYATA KINYONGE, UJUE ARSENAL KAPIGWA! Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top