Kocha mpya mtarajiwa wa Simba SC, Mfaransa Pierre Lechantre (kulia) akiwa na msaidizi wake, kocha wa viungo, Mmorocco Mohammed Aymen Hbibi (katikati) wakati wa mchezo wa timu hiyo dhidi ya Singida United jioni ya leo Uwanja wa Taifa.
Simba imemkaribisha Mfaransa huyo kwa ushindi wa 4-0 kwenye mechi hiyo ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara
Field Yates NFL Mock Draft 2024: J.J. McCarthy to Vikings Among Final
Predictions
-
J.J. McCarthy has been linked to the Minnesota Vikings since the moment
they lost Kirk Cousins to the Atlanta Falcons in free agency. That doesn't
change in…
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment