Mshambuliaji Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao yote dakika za 34, 63 kwa penalti na 83 ikishinda 3-1 dhidi ya Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Bao pekee la The Magpies limefungwa na Jacob Murphy dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea vs Leeds - FA Cup LIVE: Callum McFarlane returns to dugout as
crisis-hit Blues face Daniel Farke's men in FA Cup semi-final
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Chelsea take on Leeds at Wembley in the FA Cup semi-final.
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment