Mshambuliaji Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao yote dakika za 34, 63 kwa penalti na 83 ikishinda 3-1 dhidi ya Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Bao pekee la The Magpies limefungwa na Jacob Murphy dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sterling 'understands' Chelsea boos - Pochettino
-
Chelsea manager Mauricio Pochettino says it is important the club's fans
and players 'move on' after Raheem Sterling was booed by supporters.
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment