Wilfried Zaha akimchambua kipa wa Chelsea, Thibaut Courtois kuwafungia wenyeji, Crystal Palace bao la pili dakika ya 45 katika ushindi wa 2-1 jioni ya leo Uwanja wa Selhurst Park mjini London. Chelsea
walianza kwa kujifunga kupitia kwa mchezaji wao, Cesar Azpilicueta dakika ya 11 kabla ya Tiemoue Bakayoko kusawazisha dakika ya 18 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
walianza kwa kujifunga kupitia kwa mchezaji wao, Cesar Azpilicueta dakika ya 11 kabla ya Tiemoue Bakayoko kusawazisha dakika ya 18 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment