• HABARI MPYA

    Wednesday, October 11, 2017

    UFARANSA NAO WAILIMA BELARUS 2-1 NA KUFUZU URUSI 2018

    Wachezaji wa Ufaransa wakiongozwa na Nahodha wao, kipa Hugo Lloris kushangilia jana baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Belarus kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Mabao ya Ufaransa ambayo inafanikiwa kukata tiketi ya kwenda Urusi mwakani yalifungwa na Antoine Griezmann dakika ya 27 na Olivier Giroud dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UFARANSA NAO WAILIMA BELARUS 2-1 NA KUFUZU URUSI 2018 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top