Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Ubelgiji bao la nne dakika ya 78 ikishinda 4-0 dhidi ya Cyprus katika mchezo wa Kundi H kufuzu Kombe la Dunia jana Uwanja wa Roi Baudouin mjini Brussels, Ubelgiji. Mabao mengine ya Ubelgiji ambayo ilikwishafuzu kabla ya mechi ya jana yalifungwa na Eden Hazard mawili dakika za 12 na 63 kwa penalti na Thorgan Hazard dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The night Nottingham Forest were REALLY robbed by a dodgy ref! 40 years on,
the incredible tale of the official who took a bribe
-
MATT BARLOW: Perhaps someone at Nottingham Forest had this looming
anniversary in mind when the Midlands club started peddling conspiracy
theories like Don...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment