Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Ubelgiji bao la nne dakika ya 78 ikishinda 4-0 dhidi ya Cyprus katika mchezo wa Kundi H kufuzu Kombe la Dunia jana Uwanja wa Roi Baudouin mjini Brussels, Ubelgiji. Mabao mengine ya Ubelgiji ambayo ilikwishafuzu kabla ya mechi ya jana yalifungwa na Eden Hazard mawili dakika za 12 na 63 kwa penalti na Thorgan Hazard dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES PLAYER RATINGS - THIRD TEST: England duo each given a TWO after
'mental disintegration' in Adelaide while Australian hero nearly scores a
perfect 10 - but his team-mate is 'out of his depth'
-
LAWRENCE BOOTH IN ADELAIDE: England's quest to win an Ashes series Down
Under has failed once again after losing the third Test by 82 runs to
condemn them ...
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment