Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Uruguay dakika za 60 na 76 wakiilaza Bolivia 4-2 katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika ya Kusini jana Uwanja wa Centenario mjini Montevideo. Mabao mengine ya Uruguay inayokata tiketi ya Urusi mwakani yalifungwa na Martin Caceres dakika ya 39 na Edinson Cavani dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England unable to hold out as Australia retain the Ashes
-
Australia beat England by 82 runs to take a 3-0 series lead and retain the
Ashes urn on day five of the third Test in Adelaide.
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment