• HABARI MPYA

    Wednesday, October 11, 2017

    SUAREZ AIFUNGIA MAWILI URUGUAY YAFUZU KOMBE LA DUNIA

    Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Uruguay dakika za 60 na 76 wakiilaza Bolivia 4-2 katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika ya Kusini jana Uwanja wa Centenario mjini Montevideo. Mabao mengine ya Uruguay inayokata tiketi ya Urusi mwakani yalifungwa na Martin Caceres dakika ya 39 na Edinson Cavani dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SUAREZ AIFUNGIA MAWILI URUGUAY YAFUZU KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top