Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Uruguay dakika za 60 na 76 wakiilaza Bolivia 4-2 katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika ya Kusini jana Uwanja wa Centenario mjini Montevideo. Mabao mengine ya Uruguay inayokata tiketi ya Urusi mwakani yalifungwa na Martin Caceres dakika ya 39 na Edinson Cavani dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How to follow our Sheffield United game
-
Check all the essential info for Wednesday's Premier League meeting with
the Blades at Old Trafford.
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment