Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akimiliki mpira mbele ya beki wa Njombe Mji FC, Ahmed Adiwale katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Simba ilishinda 4-0
Emmanuel Okwi akimtoka beki wa Njombe Mji, Laban Kambole katika mchezo wa jana
Mshambuliaji Mghana wa Simba, Nicholaus Gyan akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Njombe Mji FC, Laban Kambole
Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' akiondoka na mpira jana Uwanja wa Uhuru
Mshambuliaji wa Simba, Mrundi Laudit Mavugo pamoja na kumpita kipa wa Njombe Mji, David Kissu hapa, lakini hakufunga
Kiungo wa Simba SC, Muzamil Yassin akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Njombe Mji
Beki wa Simba, Erasto Nyoni akipiga krosi mbele ya beki wa Njombe Mji, Claide Waigenge
Beki wa Njombe Mji FC, Laban Kambole akigeuka na mpira kumpiga chenga winga wa Simba, Shiza Kichuya
Kikosi cha Simba kilichoanza jana Uwanja wa Uhuru
Kikosi cha Njombe Mji FC kilichoanza jana Uwanja wa Uhuru
Raiders coach Ricky Stuart reveals whether recent Des Hasler blue outside
the dressing room in Canberra ruined a 35-year friendship
-
Raiders coach Ricky Stuart has addressed suggestions of a feud with Titans
counterpart Des Hasler. It follows ugly scenes outside the dressing rooms
in Can...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment