• HABARI MPYA

    Tuesday, October 03, 2017

    NEYMAR AUMIA BRAZIL IKIJIANDAA KUZIVAA BOLIVIA NA CHILE

    Nyota wa Paris Saint-Germain, Neymar Junior akiugulia maumivu ya kidole gumba wakati wa mazoezi ya timu yake ya taifa, Brazil jana kujiandaa na michezo ya kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Bolivia na Chile japokuwa imekwishajihakikishia tiketi ya michuano hiyo ya Urusi mwakani PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NEYMAR AUMIA BRAZIL IKIJIANDAA KUZIVAA BOLIVIA NA CHILE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top