Refa Ruddy Buquet akimuonyesha kadi nyekundu mshambuliaji wa Paris Saint-Germain, Neymar Junior dakika ya 87 baada ya kumuonyesha kadi ya pili njano dakika mbili tu baada ya kumuonyesha kadi ya kwanza ya njano katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Velodrome mjini Marseille. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2, mabao ya PSG yakifungwa na Neymar dakika ya 33 na Edinson Cavani dakika ya 90 na ushei, wakati ya Marseille yalifungwa na Luiz Gustavo dakika ya 16 na Florian Thauvin dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Christian McCaffrey's fiancee Olivia Culpo teases wedding 'countdown' as
model prepares to marry 49ers star
-
San Francisco 49ers star Christian McCaffrey could soon be tying the knot
after his fiancee Olivia Culpo revealed that the 'countdown' to their
wedding is on.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment