• HABARI MPYA

    Tuesday, October 10, 2017

    JAMES MCCLEAN AIPELEKA JAMHURI YA IRELAND URUSI 2018

    James McClean wa Jamhuri ya Ireland akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee dakika ya 57 ikiwalaza wenyeji, Wales 1-0 katika mchezo wa Kundi D kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi uliofanyika jana Uwanja wa Cardiff City mjini Cardiff. Na kwa ushindi huo, Wales inafuzu Kombe la Dunia PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JAMES MCCLEAN AIPELEKA JAMHURI YA IRELAND URUSI 2018 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top