James McClean wa Jamhuri ya Ireland akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee dakika ya 57 ikiwalaza wenyeji, Wales 1-0 katika mchezo wa Kundi D kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi uliofanyika jana Uwanja wa Cardiff City mjini Cardiff. Na kwa ushindi huo, Wales inafuzu Kombe la Dunia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Deebo Samuel Trade Rumors: 49ers WR Eyed By Teams Ahead of NFL Draft Amid
Aiyuk Buzz
-
Brandon Aiyuk isn't the only San Francisco 49ers wide receiver who's
garnering outside interest, according to Michael Silver of the San
Francisco Chronicle.…
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment