• HABARI MPYA

    Saturday, October 07, 2017

    ITALIA YALAZIMISHWA SARE NYUMBANI, 1-1 NA MACEDONIA

    Beki wa Italia, Davide Zappacosta anayechezea Chelsea (kushoto) akiwania mpira wa juu dhidi ya Ferhan Hasani wa Macedonia katika mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia usiku wa jana Uwanja wa Olimpiki Grande Torino mjini Torino timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Italia walitangulia kwa bao la Giorgio Chiellini dakika ya 40, kabla ya Aleksandar Trajkovski kuwasawazishia wageni dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ITALIA YALAZIMISHWA SARE NYUMBANI, 1-1 NA MACEDONIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top