Beki wa Italia, Davide Zappacosta anayechezea Chelsea (kushoto) akiwania mpira wa juu dhidi ya Ferhan Hasani wa Macedonia katika mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia usiku wa jana Uwanja wa Olimpiki Grande Torino mjini Torino timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Italia walitangulia kwa bao la Giorgio Chiellini dakika ya 40, kabla ya Aleksandar Trajkovski kuwasawazishia wageni dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
REVEALED: Chiefs star Rashee Rice is working with renowned wide receiver
coach as he continues to prepare for 2024 NFL season despite police
investigation into 119mph crash
-
A video showing Kansas City Chiefs wide receiver Rashee Rice preparing for
the 2024 season has been making the rounds on social media.
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment