• HABARI MPYA

    Sunday, October 22, 2017

    HUUMWI, HATA BENCHI HUKAI NA TIMU INASHINDA 4-0 UJUE...

    Kutoka kushoto wachezaji wa Simba, Jamal Mnyate, Juma Luizio na Jamal Mwambeleko wakiwa na mshambuliaji wa zamani wa timu hiyo, Abdallah Juma kwenye kona ya chini ya mti upande wa Kaskazini mwa Uwanja wa Uhuru wakiishuhidia timu yao ikimenyana na Njombe Mji jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Simba ilishinda 4-0
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HUUMWI, HATA BENCHI HUKAI NA TIMU INASHINDA 4-0 UJUE... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top