Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Tottenham Hotspur dakika za nne na 56 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Liverpool Uwanja wa Wembley, London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Son Heung-Min dakika ya 12 na Dele Alli dakika ya 45 na ushei wakati bao pekee la Liverpool limefungwa na Mohamed Salah dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why 2025 feels like NFL 'snow globe's been shaken'
-
The Kansas City Chiefs have made an early exit from the NFL play-off race,
leaving the road to the Super Bowl open. Who are the pretenders to their
throne?
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment