• HABARI MPYA

    Sunday, October 22, 2017

    HARRY KANE AFUNGA BAO MBILI, SPURS YAICHAPA LIVERPOOL 4-1

    Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Tottenham Hotspur dakika za nne na 56 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Liverpool Uwanja wa Wembley, London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Son Heung-Min dakika ya 12 na Dele Alli dakika ya 45 na ushei wakati bao pekee la Liverpool limefungwa na Mohamed Salah dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HARRY KANE AFUNGA BAO MBILI, SPURS YAICHAPA LIVERPOOL 4-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top