Mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero akiwa mazoezini jana Uwanja wa akademi ya klabu hiyo kujiandaa na mchezo wao wa kesho dhidi ya Stoke City Uwanja wa Etihad. Aguero amerudi mazoezini baada ya wiki mbili zilizopita kupata ajali alipokuwa anatoka kwenye tamasha la muziki mjini Amsterdam, Uholanzi na alitarajiwa kukosa mechi nyingi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Premier League star wins court battle after 'unnecessary leg surgery
ended his top-flight career'
-
Following a trial which took place in London earlier this year, the High
Court ruled on Thursday that the surgery, known as arthroscopy, did
contribute to ...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment