• HABARI MPYA

    Friday, October 13, 2017

    AGUERO AREJEA MAN CITY WIKI MBILI BAADA YA KUVUNJIKA MBAVU AJALINI

    Mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero akiwa mazoezini jana Uwanja wa akademi ya klabu hiyo kujiandaa na mchezo wao wa kesho dhidi ya Stoke City Uwanja wa Etihad. Aguero amerudi mazoezini baada ya wiki mbili zilizopita kupata ajali alipokuwa anatoka kwenye tamasha la muziki mjini Amsterdam, Uholanzi na alitarajiwa kukosa mechi nyingi PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AGUERO AREJEA MAN CITY WIKI MBILI BAADA YA KUVUNJIKA MBAVU AJALINI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top