Mshambuliaji Mzimbabwe wa Yanga, Donald Ngoma akimiliki mpira mbele ya beki wa Singida United katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 3-2
Mshambuliaji Mrundi wa Yanga, Amissi Tambwe (kulia) akiudhibiti mpira dhidi ya kiungo wa Singida United, Mudathir Yahya (kushoto)
Mfungaji wa bao la ushindi la Yanga jana, Emmanuel Martin akikimbilia mpira dhidi ya beki wa Singida
Viungo Mudathir Yahya wa Singida United (kulia) na Raphael Daudi wa Yanga wakionyeshana kazi katikati ya Uwanja
Juma Mahadhi wa Yanga akipambana na wachezaji wa Singida United
Baruan Akilimali wa Yanga akimiliki mpira pembeni ya mchezaji wa Singida United
Kikosi cha Yanga kilichoanza jana
Kikosi cha Singida United kilichoanza jana
Matildas goalkeeper Mackenzie Arnold makes a HUGE change in her battle
against hearing loss
-
Matildas first choice goalkeeper Mackenzie Arnold has confirmed she will
make a huge change on the pitch as anticipation continues to build ahead of
the Pa...
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment