• HABARI MPYA

    Monday, August 07, 2017

    MAN U WALIVYOWAFUATA REAL KWA UEFA SUPER CUP KESHO

    Eric Bailly (mbele kushoto) akiwa na wachezaji wenzake wa Manchester United kwenye ndege leo wakati wa safari ya kwenda mjini Skopje, Macedonia kwa ajili ya mcheo wa Super Cup ya UEFA dhidi ya Real Madrid kesho usiku Uwanja wa Nacionalna Arena Filip II. Man United ni mabingwa wa Ligi ya Ulaya na Real Madrid ni mabingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN U WALIVYOWAFUATA REAL KWA UEFA SUPER CUP KESHO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top