Kiungo wa kimataifa wa Rwanda, Haruna Niyonzima (kushoto) akizungumza na Kocha Mkuu wa Simba, Mcameroon, Joseph Marius Omog (kulia) baada ya kuripoti mazoezini leo Uwanja wa Boko Veterani, Dar es Salaam, saa chache tu baada ya kuwasili Alfajiri ya leo kutoka Kigali alipokuwa kwa mapumziko, kufuatia kuachana na Yanga aliyoitumikia kwa miaka sita
Report: Bears New Stadium Plan Projected to Cost $4.6B; Half from Public
Financing
-
The Chicago Bears haven't won a playoff game in 13 years, but they
reportedly plan on asking residents of their city to foot a $2.3 billion
bill to help bu...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment