• HABARI MPYA

    Monday, August 07, 2017

    HARUNA NIYONZIMA ALIVYOANZA MAZOEZI SIMBA SC LEO

    Kiungo wa kimataifa wa Rwanda, Haruna Niyonzima (kushoto) akizungumza na Kocha Mkuu wa Simba, Mcameroon, Joseph Marius Omog (kulia) baada ya kuripoti mazoezini leo Uwanja wa Boko Veterani, Dar es Salaam, saa chache tu baada ya kuwasili Alfajiri ya leo kutoka Kigali alipokuwa kwa mapumziko, kufuatia kuachana na Yanga aliyoitumikia kwa miaka sita  
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HARUNA NIYONZIMA ALIVYOANZA MAZOEZI SIMBA SC LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top