• HABARI MPYA

    Sunday, August 06, 2017

    AISHI SALUM MANULA ANAVYOFURAHIA MAISHA MAPYA SIMBA SC

    Kipa wa Simba, Aishi Manula (kushoto) akifurahiaa na wachezaji wenzake baada ya kurejea kutoka Afrika Kusini usiku wa jana ambako walikwenda kuweka kambi ya kujiandaa na msimu mpya  
    Aishi Manula pia ameposti kwenye akaunti yake ya Instagram akifurahia maisha na jezi za timu yake mpya
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AISHI SALUM MANULA ANAVYOFURAHIA MAISHA MAPYA SIMBA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top