• HABARI MPYA

    Sunday, June 18, 2017

    KINARA WA MABAO RWANDA ATUA SINGIDA UNITED

    Mratibu wa Singida United, Sanga Festo (kushoto) akimkabidhi jezi ya timu hiyo mshambuliaji Danny Usengimana baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na wageni hao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kutoka Polisi ya kwao, Rwanda. Usengimana ni mfungaji bora wa Ligi Kuu ya Azam Rwanda kwa misimu miwili iliyopita
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KINARA WA MABAO RWANDA ATUA SINGIDA UNITED Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top