Olivier Giroud wa Ufaransa akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za sita, 13 na 69 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Paraguay kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa Roazhon Park mjini Rennes, Ufaransa. Mabao mengine ya Ufaransa yamefungwa na Moussa Sissoko dakika ya 76 na Antoine Griezmann dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hilarious moment darts star RUNS AWAY from the Ally Pally wasp as insect
causes more havoc at World Darts Championship
-
The insect has become as much of a feature in the World Darts Championship
as the arrows themself, and provided yet more entertainment on Friday
evening.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment