• HABARI MPYA

    Saturday, June 03, 2017

    GIROUD APIGA HAT TRICK UFARANSA IKIICHAPA PARAGUAY 5-0

    Olivier Giroud wa Ufaransa akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za sita, 13 na 69 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Paraguay kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa Roazhon Park mjini Rennes, Ufaransa. Mabao mengine ya Ufaransa yamefungwa na Moussa Sissoko dakika ya 76 na Antoine Griezmann dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GIROUD APIGA HAT TRICK UFARANSA IKIICHAPA PARAGUAY 5-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top