Olivier Giroud wa Ufaransa akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za sita, 13 na 69 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Paraguay kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa Roazhon Park mjini Rennes, Ufaransa. Mabao mengine ya Ufaransa yamefungwa na Moussa Sissoko dakika ya 76 na Antoine Griezmann dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Updated 2024 AEW Dynasty Card and Predictions for Match Order
-
The inaugural AEW Dynasty pay-per-view is set for Sunday, and it will see
nearly every major AEW championship be put on the line. In the likely main
event,…
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment