Alexis Sanchez akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 60 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Southampton usiku wa Jumatano kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St Mary's. Bao la pili la Arsenal limefungwa na Olivier Giroud dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Vince McMahon Sells Final TKO Shares for $776M+ to End WWE Ties After 50+
Years
-
WWE co-founder Vince McMahon is ending his association with the promotion
after 55 years with the sale of his 8.02 million TKO Group Holdings shares,
which…
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment