• HABARI MPYA

    Thursday, May 11, 2017

    SANCHEZ, GIROUD WAING'ARISHA ARSENAL LIGI KUU ENGLAND

    Alexis Sanchez akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 60 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Southampton usiku wa Jumatano kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St Mary's. Bao la pili la Arsenal limefungwa na Olivier Giroud dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SANCHEZ, GIROUD WAING'ARISHA ARSENAL LIGI KUU ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top