• HABARI MPYA

    Sunday, May 28, 2017

    HASSAN AFIF, JULIO WALIVYOKINUKISHA SIMBA 1991

    Wachezaji wa Simba SC wakiongozwa na Hassan Afif na Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ wakisherehekea ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya SC Villa ya Uganda baada ya fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati mwaka 1991 Uwanja Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HASSAN AFIF, JULIO WALIVYOKINUKISHA SIMBA 1991 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top