Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kutoka kulia Said Ndemla, Mohammed Hussein 'Tshabalala', Ibrahim Hajib, Jonas Mkude wote wa klabu ya Simba na Simon Msuva wa Yanga wakiwa nje ya kambi ya timu hiyo, hoteli Urban Rose, eneo la Kisutu, Dar es Salaam. Mkude amejiunga na timu hiyo leo baada ya kuruhusiwa kutoka hospitali ya Muhimbili alipokuwa amelazwa tangu jana usiku kufuatia kupatab ajali ya gari eneo la Dumila, Morogoro akitokea Dodoma.
ASHES BREAKFAST: England bowlers flayed as Jamie Smith delivers abiding
image after drop, Joe Root neuters Australia's headline makers and Nathan
Lyon is left feeling 'filthy', writes OLIVER HOLT
-
It was a difficult first session in the field. Wicketkeeper Jamie Smith put
down a simple catch from Travis Head, off the bowling of Archer, and that
seeme...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment