• HABARI MPYA

    Monday, May 29, 2017

    WACHEZAJI STARS WALIVYOMPOKEA JONAS MKUDE KAMBINI LEO

    Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kutoka kulia Said Ndemla, Mohammed Hussein 'Tshabalala', Ibrahim Hajib, Jonas Mkude wote wa klabu ya Simba na Simon Msuva wa Yanga wakiwa nje ya kambi ya timu hiyo, hoteli Urban Rose, eneo la Kisutu, Dar es Salaam. Mkude amejiunga na timu hiyo leo baada ya kuruhusiwa kutoka hospitali ya Muhimbili alipokuwa amelazwa tangu jana usiku kufuatia kupatab ajali ya gari eneo la Dumila, Morogoro akitokea Dodoma.   
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WACHEZAJI STARS WALIVYOMPOKEA JONAS MKUDE KAMBINI LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top