Umati wa mashabiki wa Simba Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma tayari kuishuhudia timu yao ikimenyana na Mbao FC katika fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federtion Cup (ASFC) kuanzia Saa 10:00 jioni ya leo
Wengi kati ya mashabiki hawa wamesafiri kutoka Dar es Salaam inapookea pia timu yao
Mashabiki wa Simba walianza kuwasili mjini Dodoma jana
Uwanja wa Jamhuri umepambwa kwa rangi nyeupe na nyekundu za mavazi ya mashabiki wa Simba na bendera zao
Pamoja na watu wengi ndani, lakini na nje bado watu wapo kwenye foleni za kukata tiketi na wengine za kuingia
V8 Supercars star James Courtney opens up about almost burning to death at
the Australian Grand Prix
-
Supercars star James Courtney has spoken about his lucky escape from death
when his car was engulfed by a fireball at Albert Park last year.
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment