Kiungo wa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17, Abdul Hamisi Suleiman akionyesha tuzo yake ya Mchezaji Bora wa mechi kwenye Fainali za U-17 Afrika nchini Gabon baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam leo. Abdul alishinda mechi hiyo katika mechi ya Kundi B dhidi ya Angola Mei 18, mwaka huu Serengeti Boys wakishinda 2-1 Uwanja wa L'Amitiee mjini Libreville, huku yeye akifunga bao la ushindi
Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe (katikati) akiwa na Abdul Suleiman (kulia) na beki wa Serengeti Boys, Dickson Job
Waziri Mwakyembe akiwalaki makocha wa Serengeti Boys, Bakari Nyundo Shime (katikati) na Msaidizi wake, Oscar Milambo
Waziri Mwakyembe akizungumzakwenye hafla fupi ya mapokezi ya vijana hao JNIA
Wachezaji wa Serengeti Boys katika picha ya pamoja na viongozi
Marc Guehi completes £20m Man City move as they see off Liverpool, Arsenal
- and the fury of Crystal Palace boss Oliver Glasner - and he says it's a
'relief' to get it done
-
JACK GAUGHAN: Guehi joins £62.5m Antoine Semenyo through the Etihad doors
this month and while not eligible for Tuesday's Champions League tie, will
be ava...
23 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment