• HABARI MPYA

    Wednesday, May 24, 2017

    MAPOKEZI YA SERENGETI BOYS LEO DAR ES SALAAM

    Kiungo wa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17, Abdul Hamisi Suleiman akionyesha tuzo yake ya Mchezaji Bora wa mechi kwenye Fainali za U-17 Afrika nchini Gabon baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam leo. Abdul alishinda mechi hiyo katika mechi ya Kundi B dhidi ya Angola Mei 18, mwaka huu Serengeti Boys wakishinda 2-1 Uwanja wa L'Amitiee mjini Libreville, huku yeye akifunga bao la ushindi 
    Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe (katikati) akiwa na Abdul Suleiman (kulia) na beki wa Serengeti Boys, Dickson Job 
    Waziri Mwakyembe akiwalaki makocha wa Serengeti Boys, Bakari Nyundo Shime (katikati) na Msaidizi wake, Oscar Milambo  
    Waziri Mwakyembe akizungumzakwenye hafla fupi ya mapokezi ya vijana hao JNIA
    Wachezaji wa Serengeti Boys katika picha ya pamoja na viongozi

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAPOKEZI YA SERENGETI BOYS LEO DAR ES SALAAM Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top