Wachezaji wa Arsenal wakifurahia na Kombe lao la FA England baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Chelsea Uwanja wa Wembley leo. Mabao ya Arsenal yamefungwa na Alexis Sanchez dakika ya nne na Aaron Ramsey dakika ya 79, wakati la Chelsea limefungwa na Diego Costa dakika ya 76. Chelsea ilimaliza pungufu baada ya Victor Moses kutolewa kwa kadi nyekundu kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kujiangusha kwenye boksi dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
V8 Supercars star James Courtney opens up about almost burning to death at
the Australian Grand Prix
-
Supercars star James Courtney has spoken about his lucky escape from death
when his car was engulfed by a fireball at Albert Park last year.
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment