• HABARI MPYA

    Tuesday, May 23, 2017

    RAIS KIKWETE ALIPOKUTANA NA MBWANA SAMATTA LEO UBELGIJI

    Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) akiwa na mshambuliaji wa KRC Genk, Mbwana Samatta baada ya kukutana mjini Brussels, Ubelgiji leo
    Rais Mstaafu, Kikwete yupo mjini Brussels kuhudhuria Mkutano wa Wadau wa Libya na Samatta alilazimika kusafiri kutoka Genk hadi mjini kwenda kumsalimia mzee wake huyo
    Samatta alikwenda kwa benzi lake kutoka Genk hadi Brussells


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RAIS KIKWETE ALIPOKUTANA NA MBWANA SAMATTA LEO UBELGIJI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top