Wachezaji wa Barcelona wakiwa katika picha ya pamoja na Kombe lao la Mfalme, maarufu kama Copa del Rey baada ya kukabidhiwa usiku wa jana kufuatia ushindi wa 3-1 dhidi ya Deportivo Alaves Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid. Mabao ya Barca yalifungwa na Lionel Messi dakika ya 30, Neymar dakika ya 45 na Paco Alcecer dakika ya 45, wakati la Alaves lilifungwa na Theo Hernandez dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eric Comrie makes 34 saves, Winnipeg Jets top Buffalo Sabres 4-1
-
WINNIPEG — Eric Comrie made 34 saves and Kyle Connor scored his
team-leading 15th goal of the season as the Winnipeg Jets downed the
Buffalo Sabres 4-1 on ...
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment