Winga wa Simba, Shiza Kichuya (kulia) akitafuta maarifa ya kumpita mshambuliaji wa AFC Eskilstuna ya Denmark, Thomas Ulimwengu mwenye mwonekano mpya baada ya kunyoa rasta katika mazoezi ya timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars jioni ya leo Uwanja wa Kituo cha Jakaya Kikwete (JMKYC), eneo la Gerezani, Dar es Salaam. Kulia ni kocha wa Taifa Stars, Salum Mayanga
Beki wa Azam, Shomary Kapombe akitafuta maarifa ya kumtoka Shiza Kichuya
Winga wa Yanga, Simon Msuva akipiga mpira dhidi ya Thomas Ulimwengu
Kulia kabisa ni Mbaraka Yussuf Abeid wa Kagera Sugar
Wachezaji wa Azam FC kutoka kulia Gardiel Michael, Erasto Nyoni na Shomary Kapombe
Everton learn date of hearing for second breach of Premier League spending
rules as commission faces race against time to meet deadline... with the
Toffees resigned to ANOTHER points deduction
-
EXCLUSIVE BY MATT HUGHES: The Premier League have committed to announcing a
verdict on Everton's second charge of breaking Profit and Sustainability
Rules ...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment