Winga wa Simba, Shiza Kichuya (kulia) akitafuta maarifa ya kumpita mshambuliaji wa AFC Eskilstuna ya Denmark, Thomas Ulimwengu mwenye mwonekano mpya baada ya kunyoa rasta katika mazoezi ya timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars jioni ya leo Uwanja wa Kituo cha Jakaya Kikwete (JMKYC), eneo la Gerezani, Dar es Salaam. Kulia ni kocha wa Taifa Stars, Salum Mayanga
Beki wa Azam, Shomary Kapombe akitafuta maarifa ya kumtoka Shiza Kichuya
Winga wa Yanga, Simon Msuva akipiga mpira dhidi ya Thomas Ulimwengu
Kulia kabisa ni Mbaraka Yussuf Abeid wa Kagera Sugar
Wachezaji wa Azam FC kutoka kulia Gardiel Michael, Erasto Nyoni na Shomary Kapombe
Smith drop an early blow in tale of two Ashes keepers
-
Why wicketkeeper Jamie Smith's drop on day two of second Ashes Test is
potentially worrying for England.
50 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment