Cristiano Ronaldo akishangilia na mfungaji wa bao lao, Isco dakika ya 42, Real Madrid ikifungwa 2-1 na wenyeji, Atletico Madrid usiku wa Jumatano Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid katika mchezo wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao ya Atletico yamefungwa na Saul Niguez dakika ya 12 na Antoine Griezmann kwa penalti dakika ya 16. Real inakwenda fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-2 baada ya kushinda 3-0 kwenye mchezo wa kwanza wiki iliyopita Uwanja wa Bernabeu, mabao yote yakifungwa na Ronaldo na sasa itakutana na Juventus katika fainali Uwanja wa Principality mjini Cardiff, Juni 3, mwaka huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roy Keane and Ian Wright clash over Bruno Fernandes in heated exchange on
the Man United captain after Arsenal legend called him a 'winner'... as
co-pundit AGAIN criticises the Portuguese star
-
Fernandes, 29, has been one of the bright sparks at Old Trafford in recent
years, adding 143 goal contributions in 229 games since his 2020 move from
Sport...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment