Nahodha wa Manchester United, Wayne Rooney akiwaongoza wenzake katika ukimya wa dakika moja kabla ya kuanza mazoezi viwanja vya Carrington, Manchester kuwaombea watu 22 waliofariki dunia baada ya shambulizi la kigaidi kwenye tamasha la muziki wa Pop mjini Manchester usiku wa Jumatatu tukio ambalo lilisababisha watu wengine 119 wajetuhiwe. United inafanya mazoezi hapo leo kujiandaa na mchezo wa fainali ya Europa League kesho Friends Arena mjini Stockholm, Sweden dhidi ya Ajax PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment