Nahodha wa Manchester United, Wayne Rooney akiwaongoza wenzake katika ukimya wa dakika moja kabla ya kuanza mazoezi viwanja vya Carrington, Manchester kuwaombea watu 22 waliofariki dunia baada ya shambulizi la kigaidi kwenye tamasha la muziki wa Pop mjini Manchester usiku wa Jumatatu tukio ambalo lilisababisha watu wengine 119 wajetuhiwe. United inafanya mazoezi hapo leo kujiandaa na mchezo wa fainali ya Europa League kesho Friends Arena mjini Stockholm, Sweden dhidi ya Ajax PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Trade Rumors: Bucks' Giannis Discussed by Teams with Stockpile of NBA
Draft Picks
-
The Milwaukee Bucks haven't yet been eliminated from the 2024 NBA playoffs,
but the sharks might already be starting to circle. ESPN's Tim MacMahon
reported…
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment