Mkongwe Zlatan Ibrahimovic akishangilia baada ya kufunga bao lake la 17 katika Ligi Kuu ya England dakika ya 30 Uwanja wa Light katika mchezo dhidi ya wenyeji, Sunderland, ambao Manchester United wameshinda 3-0. Mabao mengine ya Man United yamefunga na Henrikh Mkhitaryan dakika ya 46 na Marcus Rashford dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Coach Calls Cooper DeJean Best DB in 2024 Draft, Compares to Minkah
Fitzpatrick
-
Cooper DeJean has spent months rehabbing a fractured fibula, but at least
one defensive backs coach saw enough on tape to believe he's the best
defensive b...
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment