Alexis Sanchez akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 42 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Middlesbrough kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatatu Uwanja wa Riverside. Bao la pili la Arsenal lilifungwa na Mesut Ozil dakika ya 71, wakati la Boro lilifungwa na Alvaro Negredo dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England fans have 'every right to be annoyed, I made terrible mistake' -
Brook
-
Harry Brook says supporters have “every right to be annoyed” by his
behaviour after he was punched by a nightclub bouncer on England’s tour of
New Zealand ...
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment