Henrikh Mkhitaryan akimsaidia fedha ombaomba na mtu asiye na makazi Jiji la Manchester jana baada ya mchezaji huyo wa kimataifa wa Armeniaa kupata chakula katika mgahawa wa Kitaliano, San Carlo Jumatatu ya Pasaka. Mkhitaryan alikuwa benchi muda wote Jumapili Mashetani Wekundu wakiwafunga 2-0 Chelsea katika mchezo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's top diplomat issues most direct threat yet to US as crackdown over
protests squeezes nation
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — Iran's foreign minister issued the most
direct threat yet Wednesday against the United States after Tehran's bloody
crac...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment